Mkurugenzi mtendaji wa halmshauri ya Wilaya ya Malinyi Mkoa Morogoro Johanfaith Kataraiya na dereva wake Ramadhan Msangi wamenusurika kifo kwenye ajali baada ya gari walilopanda kupinduka mara mbili baada ya tairi ya mbele upande wa kushoto kupasuka.“Namshukuru Mungu nilipata ajali jana saa kumi na mbili jioni lakini naendelea vizuri, nawashukuru viongozi wote pamoja na wauguzi wote”- Mkurugenzi Johanfaith
Mkurugenzi mtendaji wa halmshauri ya Wilaya ya Malinyi Mkoa Morogoro Johanfaith Kataraiya na dereva wake Ramadhan Msangi wamenusurika kifo kwenye ajali baada ya gari walilopanda kupinduka mara mbili baada ya tairi ya mbele upande wa kushoto kupasuka.“Namshukuru Mungu nilipata ajali jana saa kumi na mbili jioni lakini naendelea vizuri, nawashukuru viongozi wote pamoja na wauguzi wote”- Mkurugenzi Johanfaith