Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Mdee awamwaga machozi

Video Archive
Fri, 13 Mar 2020 Chanzo: mwananchi.co.tz

Dar es Salaam. Mbunge wa Kawe, Halima Mdee akizungumza na wanahabari leo Alhamisi, Machi 12, 2020 baada ya kutoka gereza la Segerea amesema Watanzania wameonyesha imani kubwa kwa Chadema.

"Nawashukuru sana Watanzania, walijua hatuna fedha, ni kweli hatukuwa na pesa kabisa, walijua mapema tunaenda jela," amesema Mdee huku akimwaga machozi hatua iliyofanya wengine kuangua kilio.

"Walishafunga akaunti zote mwenyekiti wetu Mbowe, wamemfilisi, wakaanglia sisi wengine hali zetu tusingeweza kulipa fidia hizo.”

Chanzo: mwananchi.co.tz