Menu ›
Habari
Thu, 21 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kikosi cha Mamelod Sundowns 'The Brazilian' wanatarajiwa kutua nchini Alhamisi, Machi 28, 2024 kwa ajili ya mchezo wao wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Yanga SC
Kikosi cha Mamelod Sundowns 'The Brazilian' wanatarajiwa kutua nchini Alhamisi, Machi 28, 2024 kwa ajili ya mchezo wao wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Yanga SC Mchezo huo utapigwa Jumamosi, Machi 30 kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es salaam saa 21:00 Usiku.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: