Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Mafuriko Mwanza vitu vyasombwa na maji, barabara hazipitiki (+video)

Video Archive
Thu, 19 Nov 2020 Chanzo: millardayo.com

Ripoti kutoka Mwanza ni hii ya mafuriko baada ya mvua kunyesha kwa muda mrefu na kusababisha vitu mbalimbali kubebwa na maji na hapa ni daraja maarufu la Wamasai pia ni barabara inayounganisha Mtaa wa Uhuru Mwanza, naambiwa barabara hiyo kwa sasa haipitiki.

Ripoti kutoka Mwanza ni hii ya mafuriko baada ya mvua kunyesha kwa muda mrefu na kusababisha vitu mbalimbali kubebwa na maji na hapa ni daraja maarufu la Wamasai pia ni barabara inayounganisha Mtaa wa Uhuru Mwanza, naambiwa barabara hiyo kwa sasa haipitiki. HATARI YA NABII AINGIA KWENYE KUNDI LA SIMBA AKIDHANI HATOLIWA KAMA DANIEL, ALIBAKI MIFUPA

Chanzo: millardayo.com