Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Machafuko Uganda, risasi, mabomu vyarindima, wanamtaka Bobi Wine (+video)

Video Archive
Thu, 19 Nov 2020 Chanzo: millardayo.com

Waandamanaji wameibuka Jijini Kampala nchini Uganda baada ya Polisi kumkamata Mgombea Urais, Robert Kyagulanyi maarufu Bobi Wine akiwa anaendelea na Kampeni.

Watu kadhaa wamefariki na wengine kujeruhiwa baada ya Polisi kujaribu kuzuia maandamano hayo kwa risasi za moto na mabomu ya machozi.

Waandamanaji waliziba njia na kuchoma matairi mara baada ya kupata taarifa za kukamatwa kwa Bobi Wine, waandamanaji wengine walionekana wakichana picha ya Rais Yoweri Museveni.

TAZAMA MTITI WA NGUVU BOBI WINE AKIKAMATWA KISA KUJAZA WATU KWENYE KAMPENI

Chanzo: millardayo.com