Menu ›
Habari
Sat, 25 Sep 2021
Chanzo: millardayo.com
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiwasili katika uwanja wa JNIA akitokea nchini Marekani.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiwasili katika uwanja wa JNIA akitokea nchini Marekani. Rais Samia alikuwa nchini Marekani kwenye mkutano wa 76 wa baraza kuu la Umoja wa mataifa (UN).
Chanzo: millardayo.com