#HABARI ALIYEKUWA Mkuu wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya, amekiri mahakamani kwamba alitumia kitambulisho chake cha Taifa kusajili laini ya simu na kumpatia mke wake Jesca Thomas.
#HABARI ALIYEKUWA Mkuu wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya, amekiri mahakamani kwamba alitumia kitambulisho chake cha Taifa kusajili laini ya simu na kumpatia mke wake Jesca Thomas. Sabaya ambaye ni shahidi wa pili kwa mshtakiwa wa kwanza katika kesi ya uhujumu uchumi namba 27, na wenzake sita, alikiri leo mahakamani huko, mbele ya Hakimu wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Arusha, katika kesi ya uhujumu uchumi.
- Dabo awavaa Mastaa Azam FC, awapa onyo hili..!
- Duke Abuya mchezaji Bora wa mwezi Singida Big Stars
- Viongozi wa jeshi Niger waukataa ujumbe wa Ecowas
- Wakili Kibatala, Shahidi wachuana taratibu za kumtambua mtuhumiwa
- BREAKING: Sabaya na wenzake waachiwa huru kesi ya uhujumu uchumi
- Read all related articles