Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

CHADEMA Mara wafunguka Matiko na Bulaya kufukuzwa, wapanga kufunga na kusali (+video)

Video Archive
Mon, 30 Nov 2020 Chanzo: millardayo.com

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Mkoa wa Mara Lucas Ngoto amesema kuwa Mkoa wa Mara umeungana na mamuzi ya Kamati Kuu ya Taifa kuwafukuza wanachama 19 wakiwemo wawili wa Mkoa wa Mara ambao ni Esther Matiko na Ester Bulaya na kuwaagiza wanachama kuanza kufanya ibada za maombi kila asubuhi ili kilio kiwafikie viongozi hao walioasi.

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Mkoa wa Mara Lucas Ngoto amesema kuwa Mkoa wa Mara umeungana na mamuzi ya Kamati Kuu ya Taifa kuwafukuza wanachama 19 wakiwemo wawili wa Mkoa wa Mara ambao ni Esther Matiko na Ester Bulaya na kuwaagiza wanachama kuanza kufanya ibada za maombi kila asubuhi ili kilio kiwafikie viongozi hao walioasi.

Chanzo: millardayo.com