- Tarehe ya Kuzaliwa:
- 1934-04-19
- Mahali pa Kuzaliwa:
- Dodoma
John Samuel Malecela alizaliwa 19 April 1934 katika hospitali ya Mvumi jijini Dodoma.
Elimu
Elimu ya Sekondari - Shule ya Sekondari Minaki 1957-1958
Shahada ya Commerce - Chuo kikuu cha Bombay India 1958-1959
Uzamili - Chuo cha Cambridge 1961–1962
Shahada ya Uzamili -Chuo kikuu cha Texas Marekani 1977
Nyadhifa alizowahi kushika
Mwakilishi wa Ummoja wa mataifa Tanzania 1964-1968
Balozi wa Tanzania nchini Ethiopia na Jumuiya ya Ummoja wa Afrika -1967
Waziri wa mambo ya njee - 1972-1973
Mawasiliano na Usafiri- 1973-1974
Madini na kilimo -1975-1975
Waziri wa Jumuiya ya Afrika Mashariki - 1975-1976
Mkuu wa Mkoa wa Iringa - 1980-1984
Mwanachama wa Jumuiya ya Madola- 1985
Balozi wa Tanzania nchini Ulaya 1989-90
waziri Mkuu wa tano na Makamu Rais wa sita Tanzania - 1990-1994
Makamu Mwenyekiti wa Chama Tawala , Chama Cha Mapinduzi CCM 1995 to 2007
Mbunge wa Mtera - 1990- 2010
Kupitia ufanyaji wake kazi kwenye wadhifa mbalimbali zilimjenga kuwa kiongozi mahiri kwa kuweza kukabiliana vizuri na majuku ya kujenga taifa la Tanzania. Lakini pia kufanya kwake kazi na Umoja wa Mataifa na Jumuiya ya Ummoja wa Afrika kulimfanya awe mwanadipomasia mzuri sana.
Naaliweza kufanya kazi vizuri kwenya nafasi yake ya Uwaziri wa mambo ya njee kwakua alipata maarifa na uwelewa mkubwa kwenye maswala yaki Diplomasia. John Malecela ameliweka alama kubwa kwenye safari ya kujenga taifa la Tanzania.
TanzaniaWeb