Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

MenuMichezo
Tennis

Novac Djokovic ashinda Mahakamani, aruhusiwa kusalia nchin Australia

Novak Djokovic Beats Daniil Medvedev 7 5 6 2 6 2 To Win Ninth Australian Open Title At Melbourne Par Mcheza Tennis, Novac Djokovic

Mon, 10 Jan 2022 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Mahakama imeamua kwamba Novak Djokovic ataachiliwa huru, baada ya hakimu kukuta hakuna msingi wowote katika mamlaka nchini Australia alivyofanya uamuzi wake wa kufuta visa ya nyota huyo wa mchezo wa tenisi.

Mahakama ilisimamisha vikao kwa muda mrefu baada ya mawakili wa serikali kuwasilisha ufunguzi wao.Sasa ni wazi kwamba kuahirishawa huko ndiko wakati ambapo serikali iliondoa kesi yao.

Jaji Anthony Kelly ameamua kwamba agizo la kughairi visa ya Djokovic "limefutwa" mara moja.Hii inamaanisha kuwa visa yake sasa ni halali na anaweza kuingia nchini Australia.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live