Thu, 12 Jan 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mkali wa Tennis kwa Wanawake na mshindi mara nne wa Grand Slam, Naomi Osaka ametangaza kuwa ni mjamzito na atarejea tena uwanjani kwa ajili ya michuano ya wazi ya Australia 2024.
Mkali wa Tennis kwa Wanawake na mshindi mara nne wa Grand Slam, Naomi Osaka ametangaza kuwa ni mjamzito na atarejea tena uwanjani kwa ajili ya michuano ya wazi ya Australia 2024. “Kitu kimoja nachokisubiria ni kwa mwanangu kutazama moja ya mechi zangu na kumwambia mtu mwingine ‘yule ni mama yangu’” amesema Naomi.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live