Thu, 20 Jan 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mashindano ya wazi ya Australia (Australian Open) yanayoendelea yazidi kuwa magumu kwa mastaa baada ya Andy Murray na Emma Raducanu kutolewa.
Andy Murray ametolewa na Mjapani Taro Daniel anaeshika nafasi ya 120 kwenye viwango vya wachezaji wa tenisi duniani kwa seti 3-0 za 6-4,6-4,6-4.
Huku mshindi wa US Open, Emma Raducanu ametolewa na Danka Kovinić kutoka Moldova kwa seti 2-1 za 6-4,4-6 na 6-3.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live