Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

MenuMichezo
Tennis

Andy Murray azidi kukiwasha Indiana Wells Open

Murray 1 Andy Murray azidi kukiwasha Indiana Wells Open

Mon, 11 Oct 2021 Chanzo: eatv.tv

Mcheza tennis Andy Murray amefanikiwa kutinga hatua ya16 bora ya mashindano ya Indiana Wells Open baada ya kumfunga Carlos Alcarez wa Uhispanua kwa seti 3-0 yaani 5-7, 6-3 na 6-2 alfajiri ya leo Oktoba 11, 2021.

Murray ambaye anaendelea kujipa mazoezi ya nguvu ili arejee uwanhani kwa hali na mali na kurejechesha makali yale amezidi kuwapa tabasam mashabki zake kwa kufanya hivyo.

Murray sasa atakipiga na Alexander Zverev wa Ujerumnani ambaye ni bingwa wa michuano ya tennis ya Tokyo Olympic iliyomalizika mwezi Julai Mwaka huu nchini Japan kwenye hatua ya 16 bora kesho Oktoba 12, 2021 saa 3:00 usiku.

 

Chanzo: eatv.tv