Sat, 13 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Mashujaa imeingilia kati dili la kuipata huduma ya mkopo ya winga wa klabu ya Yanga Denis Nkane.
Klabu ya Mashujaa imeingilia kati dili la kuipata huduma ya mkopo ya winga wa klabu ya Yanga Denis Nkane. Huku pia Vilabu vya Dodoma Jiji na Coastal Union navyo vikisubiri maamuzi ya winga huyo ambaye mpaka sasa hajaamua ataelekea klabu gani!
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: