Mon, 12 Jun 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mshambuliaji wa klabu ya Yanga SC Kennedy Musonda ametangazwa kuwa Mchezaji Bora wa mechi ya fainali ya leo dhidi ya Azam FC.
Tazam Video hapa Chini;
FAINALI ASFC: Kennedy Musonda ndiye Mchezaji Bora wa mechi ya fainali ya leo dhidi ya Azam FC. Afisa Mwendeshaji Mkuu wa Azam Media (Divisheni ya Maudhui) Yahya Mohamed ndiye aliyekabidhi tuzo hiyo kwa Musonda.
— Azam TV (@azamtvtz) June 12, 2023
FT: Azam 0-1 Yanga
Musonda 14’
Tuko LIVE #AzamSports1HD#ASFC… pic.twitter.com/dN0kWOea1x
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: