Mon, 2 Sep 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Yanga Princess imemtangaza Edna Lema 'Mourinho' kuwa Kocha Mkuu wa Klabu hiyo kwa Msimu wa 2024/25. Hii ni mara ya tatu kwa Kocha huyo kuinoa Yanga kwa nyakati tofauti tofauti.
Yanga Princess imemtangaza Edna Lema 'Mourinho' kuwa Kocha Mkuu wa Klabu hiyo kwa Msimu wa 2024/25. Hii ni mara ya tatu kwa Kocha huyo kuinoa Yanga kwa nyakati tofauti tofauti.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: