Wed, 16 Oct 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mshambuliaji wa Argentina, Lionel Messi akiichezea timu yake ya Taifa jana alifunga hat-trick yake ya 10 huku akiwaachia majonzi Bolivia kwa kipigo cha mabao 6-0 kwenye mechi za kufuzu kwa Kombe la Dunia la FIFA
Messi sasa anakuwa sawa na Cristiano Ronaldo kwa kuwa na hat-trick nyingi za kimataifa katika soka, Ronaldo nae ana hat-trick 10
Sasa nyota huyo wa Inter Miami amefikisha jumla ya mabao 846 katika maisha yake ya soka.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live