Sat, 13 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Mashujaa FC yenye Maskani yake Mkoani Kigoma, imekamilisha usajili wa aliyekuwa mlinzi wa simba SC Ibrahim Ame ambaye amewahi pia kupita Coastal Union, Mtibwa Sugar na KMC Fc.
Klabu ya Mashujaa FC yenye Maskani yake Mkoani Kigoma, imekamilisha usajili wa aliyekuwa mlinzi wa simba SC Ibrahim Ame ambaye amewahi pia kupita Coastal Union, Mtibwa Sugar na KMC Fc.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live