Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Huyu Dube anazidi kuwa balaa

Dube 7098323 Huyu Dube anazidi kuwa balaa

Mon, 26 Aug 2024 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Siku kadhaa zilizopita Rais Eng Hersi Said akiongea na wanahabari alisema "Dube ni mshambuliaji hatari sana, asipofunga magoli 20 kwenye mashindano yote msimu huu, atakuwa amefanya vibaya sana kwani Dube ni mchezaji wa daraja lingine kabisa".

Huku Dube Yeye aliwahi kusema "Nikivaa jezi ya timu hii nitafunga sana"

Alitoka kwenye maumivu amekuja kwenye furaha, na alishasemaga huko nyuma kuwa timu aliyotoka haina vision na kweli tunaona.

Prince Dube tangu ajiunge na Yanga SC amehusika kwenye jumla ya magoli 7 katika mechi 7 alizoichezea Yanga SC.

Takwimu za Prince Dube tangu ajiunge na klabu ya Yanga Kwa ujmla

√ 7 - Games

√ 5 - Goals scored

√ 2 - Assist

√ 7 - Goals involved.

Prince Dube anasema kuwa aliahaidi akivaa jezi ya Yanga atapambana sana kuisaidia timu kushinda makombe.

Misimu 4, Prince Dube hakushinda taji lolote akiwa na Azam FC, lakini ndani ya mwezi 1 akiwa Yanga tayari ana mataji (2).

Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: