Sat, 27 Jul 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Beki wa zamani wa Yanga Sc, Djuma Shaban (31) raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo amejiunga na ‘Wauaji wa Kusini’ Namungo Fc kwa uhamisho huru.
Beki wa zamani wa Yanga Sc, Djuma Shaban (31) raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo amejiunga na ‘Wauaji wa Kusini’ Namungo Fc kwa uhamisho huru. Djuma Shaban alikuwa akitajwa kuwa katika mazungumzo na Klabu ya Coastal Union kutoka Jijini Tanga.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live