Fri, 2 Aug 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Maduka ya watengeneza samani (furnitures) ikiwemo masofa na vitanda yameteketea Kwa moto asubuhi ya leo Aug 02,2024 katika eneo la Kata ya Bwilingu, Halmashauri ya Wilaya ya Chalinze Mkoani Pwani.
Mashuhuda wa ajali hiyo wamesema hawafahamu chanzo cha moto huo ambao umeunguaza ofisi zao ambapo tayari Jeshi la Polisi limeshafika eneo la tukio na kuimalisha usalama wa Wananchi.
Tazama Video hapa chini;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live