Sun, 30 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Aliyekuwa mbunge wa Iringa Mjini (CHADEMA) Mchungaji Peter Msigwa amejiunga rasmi na Chama cha Mapinduzi (CCM) leo Juni 30 wakati wa kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa ya chama hicho iliyokutana Jijini Dar es Salaam.
Mchungaji Msigwa ambaye alikuwa Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Nyasa, wakati akiingia WANEC wamempa heshima Mchungaji Msigwa kwa kumuimbia wimbo wa "Mlete Msigwa, Mlete Msigwa".
Chanzo: www.tanzaniaweb.live