Mchezaji mahiri wa mpira wa Kikapu nchini Marekani Kevin Durant wa @BrooklynNets amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa wiki ya 7 kwenye @NBA kanda ya Mashariki baada mkali huyo kuwa na wastani wa juu kwa kufunga alama 33.0, rebaundi 7.0 na kutoa asisti 5.5 na kuiongoza Timu yake ya Nets kushinda michezo 3 na kupoteza mmoja tu.
Mchezaji mahiri wa mpira wa Kikapu nchini Marekani Kevin Durant wa @BrooklynNets amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa wiki ya 7 kwenye @NBA kanda ya Mashariki baada mkali huyo kuwa na wastani wa juu kwa kufunga alama 33.0, rebaundi 7.0 na kutoa asisti 5.5 na kuiongoza Timu yake ya Nets kushinda michezo 3 na kupoteza mmoja tu.