Sat, 30 Jul 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baada ya kukamata nafasi ya pili katika mbio za Jumuia ya Madola Jijini Birmigham asubuhi ya leo Julai 30 nyuma ya Mganda Victor Kiplangat, Mwanariadha wa Tanzania Alphonce Simbu ameelezea hisia zake katika ushindi huo.
kwa kukamata nafasi ya pili Simbu amenyakua medali ya Silver huku akisema ni hatua kubwa kwa Taifa.
Msikilize Simbu hapa chini akizungumza;
Mtanzania Alphonce Simbu Ashinda Medali ya Fedha Commonwealth Marathon✅✅✅✅#JamhuriYaWapambanaji#sensabika #simbu pic.twitter.com/2HeG7KHnRh
— Mercy ???????? (@Mercy_Simba) July 30, 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live