Fri, 26 Aug 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kampuni ya Magari ya Audi itajiunga na mchezo wa kukimbiza magari Langa Langa (Formula One) kuanzia mwaka 2026.
Kampuni ya Magari ya Audi itajiunga na mchezo wa kukimbiza magari Langa Langa (Formula One) kuanzia mwaka 2026. Kampuni hiyo ya Magari kutoka Ujerumani bado haijathibitisha kama itakuwa na timu yake au watakuwa wasambazaji wa Injini za magari. Inatarajiwa mwisho wa mwaka huu watatangaza watajiunga na timu gani.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live