Kwa mujibu wa utafiti uliyofanywa na jarida la ‘Sleep Health’ na kurepotiwa katika tovuti ya ‘Fox News’ umeeleza kuwa kupata usingizi wa ziada siku za wikiendi kunasaidia kuzuia shida ya moyo.
Kwa mujibu wa utafiti uliyofanywa na jarida la ‘Sleep Health’ na kurepotiwa katika tovuti ya ‘Fox News’ umeeleza kuwa kupata usingizi wa ziada siku za wikiendi kunasaidia kuzuia shida ya moyo. Utafiti huo ulifafanua kwamba watu ambao walilala kwa angalau saa moja au mbili zaidi wikendi kuliko siku za juma waliweza kupunguza hatari ya kupata magonjwa kama kiharusi, ugonjwa wa moyo, au maumivu ya kifua.