Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Kambi matibabu ya Moyo kwa Watoto yaanza BMH

IMG 20240604 WA0016 Kambi matibabu ya Moyo kwa Watoto yaanza BMH

Tue, 4 Jun 2024 Chanzo: dar24

Kambi ya matibabu ya moyo kwa watoto wadogo imeanza jkatika Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH).

Kambi hiyo ya siku tano inashirikisha madaktari bingwa wa moyo katika Hospitali hii ya Rufaa ya Kanda ya Kati na wenzao kutoka Marekani.

Lengo la kambi hiyo mbali na kutoa huduma ni pamoja kubadilishana uzoefu kwa madaktari katika ubingwa na ubingwa bobezi.

Mamia ya wazazi na walezi kutoka sehemu mbalimbali za nchi wameleta watoto wao kwenye kambi hii ya moyo ya siku tano.

Chanzo: dar24