Mon, 15 Jan 2018
Chanzo: bongo5.com
Hivi karibuni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli alikutana na kufanya mazungumzo na aliyekuwa Waziri mkuu wa zamani, Edward Lowassa. wananchi wametoa nini maoni yao baada ya viongozi hao kuonana na wanasiasa nchini wajifunze nini.Tazama video hii wakieleza;
Hivi karibuni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli alikutana na kufanya mazungumzo na aliyekuwa Waziri mkuu wa zamani, Edward Lowassa. wananchi wametoa nini maoni yao baada ya viongozi hao kuonana na wanasiasa nchini wajifunze nini.Tazama video hii wakieleza;
Columnist: bongo5.com