Sun, 13 May 2018
Chanzo: bongo5.com
Leo Mei 13, 2018 ni siku ya MAMA DUNIANI ambapo watu maarufu hapa Tanzania na nje ya Tanzania wametuma ujumbe mbalimbali kuwashukuru mama zao hiyo yote ni katika kuadhimisha siku hiyo muhimu zaidi.
Hawa ni baadhi ya mastaa na watu maarufu kutoka Tanzania na nje ya Bongo ambao wametumia kurasa zao za mitandao ya kijamii kusherekea katika siku hii muhimu.
pic.twitter.com/lZPVfOoPi0
— Zitto Kabwe Ruyagwa (@zittokabwe) May 13, 2018
Columnist: bongo5.com