Menu ›
Burudani
Thu, 22 Aug 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Malkia wa WCB Zuhura Othuman 'Zuchu' ameahidi kumnunulia gari msanii Anjella.
Akizungumza na Diva the bawse kupitia Lavidavi ya Wasafi FM, Zuchu ametoa ahadi na kusema leo (22 / 08 / 2024) atamnunulia Anjella gari aina ya Crown kwani Anjella ni kama dada yake na hakuna anayeijua kesho.
"Huwenda siku moja naye atamsaidia," alisema.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live