Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Ze Comedy wamepewa Dakika 5 Stejini tazama mbwembwe zao (video+)

Video Archive
Thu, 2 Sep 2021 Chanzo: millardayo.com

Ni kampuni ya Multichoice Tanzania kupitia huduma ya DSTV imezindua kifurushi kipya cha ‘Poa’ ambacho kitapatikana kwa shilingi 9900/- pekee kwa mwezi mzima huku kikiwa na channel zaidi ya 40 ikiwemo chaneli mpya ya Maisha Magic Poa yenye vipindi kutoka Tanzania.Sasa hapa nimekusogezea video ujionee Ze Comedy walivyopewa dakika 5 za kuwasalimia mashabiki zao, unaweza ukabonyeza play kutazama kile kilichojiri.

Ni kampuni ya Multichoice Tanzania kupitia huduma ya DSTV imezindua kifurushi kipya cha ‘Poa’ ambacho kitapatikana kwa shilingi 9900/- pekee kwa mwezi mzima huku kikiwa na channel zaidi ya 40 ikiwemo chaneli mpya ya Maisha Magic Poa yenye vipindi kutoka Tanzania.Sasa hapa nimekusogezea video ujionee Ze Comedy walivyopewa dakika 5 za kuwasalimia mashabiki zao, unaweza ukabonyeza play kutazama kile kilichojiri.

Chanzo: millardayo.com