Ni kampuni ya Multichoice Tanzania kupitia huduma ya DSTV imezindua kifurushi kipya cha ‘Poa’ ambacho kitapatikana kwa shilingi 9900/- pekee kwa mwezi mzima huku kikiwa na channel zaidi ya 40 ikiwemo chaneli mpya ya Maisha Magic Poa yenye vipindi kutoka Tanzania.Sasa hapa nimekusogezea video ujionee Ze Comedy walivyopewa dakika 5 za kuwasalimia mashabiki zao, unaweza ukabonyeza play kutazama kile kilichojiri.
Ni kampuni ya Multichoice Tanzania kupitia huduma ya DSTV imezindua kifurushi kipya cha ‘Poa’ ambacho kitapatikana kwa shilingi 9900/- pekee kwa mwezi mzima huku kikiwa na channel zaidi ya 40 ikiwemo chaneli mpya ya Maisha Magic Poa yenye vipindi kutoka Tanzania.Sasa hapa nimekusogezea video ujionee Ze Comedy walivyopewa dakika 5 za kuwasalimia mashabiki zao, unaweza ukabonyeza play kutazama kile kilichojiri.