Menu ›
Burudani
Tue, 3 Sep 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Manyabiashara wa Uganda, Zari Hassan amemuomba msamaha hadharani mumewe, Shakib, baada ya kumsema vibaya hivi majuzi kwenye mitandao ya kijamii.
Mama huyo wa watoto watano anayeishi Afrika Kusini amesafiri hadi Uganda kurudiana na mumewe na kurekebisha uhusiano wao huku akijitetea kwamba alipokuwa "anamchamba" mumewe alikuwa amechanganyikiwa na mambo mengi ya kibiashara.
Hapo awali Zari alimshutumu Shakib kwa kutokujiamini, baada ya Zari kukutana na baba mtoto wake Diamond Platnumz, huku akidai kwamba haleti chochote mezani.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live