Menu ›
Burudani
Mon, 9 Jan 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Msanii Whozu amesema yupo tayari kubadilisha dini ili amuoe mpenzi wake Wema Sepetu ambapo ataitwa jina la Athumani.
Msanii Whozu amesema yupo tayari kubadilisha dini ili amuoe mpenzi wake Wema Sepetu ambapo ataitwa jina la Athumani. Whozu amesema anatarajia ndoa yao itafanyika ndani ya mwaka huu 2023.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live