Menu ›
Burudani
Tue, 3 Apr 2018
Chanzo: bongo5.com
Habari za uhakika kutoka ndani ya WCB zinadai kwamba aliyekuwa mpiga picha wa kampuni hiyo, Kifesi alikuwa afukuzwe kazi Jumanne hii. Hatua hiyo imekuja baada ya mpiga picha huyo mahiri kuacha kazi kwa madai anataka kufanya kazi zake binafsi pamoja na kumrudia Mungu.
Habari za uhakika kutoka ndani ya WCB zinadai kwamba aliyekuwa mpiga picha wa kampuni hiyo, Kifesi alikuwa afukuzwe kazi Jumanne hii. Hatua hiyo imekuja baada ya mpiga picha huyo mahiri kuacha kazi kwa madai anataka kufanya kazi zake binafsi pamoja na kumrudia Mungu.
Chanzo: bongo5.com