Menu ›
Burudani
Fri, 9 Mar 2018
Chanzo: bongo5.com
Msanii wa muziki kutoka nchini Kenya, Willy Paul, amefunguka sababu za kumtumia mrembo Irene ambaye amewahi kutokea kwenye video ya Rayvann ‘Kwetu’, kwenye video yake mpya ‘Malingo’ na kuwatosa warembo wengine wa Kenya kama akiwemo Huddah Monroe, Vera Sidika na wengine.
Msanii wa muziki kutoka nchini Kenya, Willy Paul, amefunguka sababu za kumtumia mrembo Irene ambaye amewahi kutokea kwenye video ya Rayvann ‘Kwetu’, kwenye video yake mpya ‘Malingo’ na kuwatosa warembo wengine wa Kenya kama akiwemo Huddah Monroe, Vera Sidika na wengine.
Chanzo: bongo5.com