Menu ›
Burudani
Fri, 9 Mar 2018
Chanzo: bongo5.com
Msanii wa muziki kutoka nchini Nigeria, Omoakin amefunguka kwa kusema kwamba ngoma za Alikiba, Diamond pamoja na Vanessa Mdee zinapigwa sana nchini humo. Muimbaji huyo yupo nchini Tanzania kwaajili ya media tour pamoja na kusambaza kazi zake mpya.
Msanii wa muziki kutoka nchini Nigeria, Omoakin amefunguka kwa kusema kwamba ngoma za Alikiba, Diamond pamoja na Vanessa Mdee zinapigwa sana nchini humo. Muimbaji huyo yupo nchini Tanzania kwaajili ya media tour pamoja na kusambaza kazi zake mpya.
Chanzo: bongo5.com