Menu ›
Burudani
Tue, 20 Mar 2018
Chanzo: bongo5.com
Hitmaker wa ngoma ‘Bado Mapema’, Jolie kutoka THT amesema Nandy ni msanii wa kike ambaye kwa sasa anawashawishi wasanii wengi wa kike kufanya vizuri na mafanikio aliyofikia anastahili.
Hitmaker wa ngoma ‘Bado Mapema’, Jolie kutoka THT amesema Nandy ni msanii wa kike ambaye kwa sasa anawashawishi wasanii wengi wa kike kufanya vizuri na mafanikio aliyofikia anastahili.
Chanzo: bongo5.com