Menu ›
Burudani
Fri, 13 Apr 2018
Chanzo: bongo5.com
Msanii wa muziki kutoka Nigeria, Patoranking ameweka wazi juu ya mwandishi wa mashairi yake kwa lugha ya kiswahili ambaye ni msaii wa muziki Bongo aitwaye Walid, msanii huyo yupo chini ya lebo ya Patoranking iitwayo Amari Music.
Msanii wa muziki kutoka Nigeria, Patoranking ameweka wazi juu ya mwandishi wa mashairi yake kwa lugha ya kiswahili ambaye ni msaii wa muziki Bongo aitwaye Walid, msanii huyo yupo chini ya lebo ya Patoranking iitwayo Amari Music.
Chanzo: bongo5.com