Siku chache baada ya kutolewa kwa tuzo za SZIFF na mwigizaji, Steve Nyerere kuandika waraka wa kutoridhishwa na utoaji wa tuzo za SZIFF uliofanyika Mlimani City jijini Dar es salaam kwa madai kuna baadhi ya wasanii ambao walitakiwa kupewa tuzo lakini hawajapewa. Muigizaji huyo ameadai Mzee Majuto, Tausi na Riyama Ally ni wasanii ambao walitakiwa kupewa tuzo.
Siku chache baada ya kutolewa kwa tuzo za SZIFF na mwigizaji, Steve Nyerere kuandika waraka wa kutoridhishwa na utoaji wa tuzo za SZIFF uliofanyika Mlimani City jijini Dar es salaam kwa madai kuna baadhi ya wasanii ambao walitakiwa kupewa tuzo lakini hawajapewa. Muigizaji huyo ameadai Mzee Majuto, Tausi na Riyama Ally ni wasanii ambao walitakiwa kupewa tuzo.