Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Video: Kanumba, Majuto, Riyama na Tausi walistahili tuzo za SZIFF – Steve Nyerere

Video Archive
Wed, 4 Apr 2018 Chanzo: bongo5.com

Siku chache baada ya kutolewa kwa tuzo za SZIFF na mwigizaji, Steve Nyerere kuandika waraka wa kutoridhishwa na utoaji wa tuzo za SZIFF uliofanyika Mlimani City jijini Dar es salaam kwa madai kuna baadhi ya wasanii ambao walitakiwa kupewa tuzo lakini hawajapewa. Muigizaji huyo ameadai Mzee Majuto, Tausi na Riyama Ally ni wasanii ambao walitakiwa kupewa tuzo.

Siku chache baada ya kutolewa kwa tuzo za SZIFF na mwigizaji, Steve Nyerere kuandika waraka wa kutoridhishwa na utoaji wa tuzo za SZIFF uliofanyika Mlimani City jijini Dar es salaam kwa madai kuna baadhi ya wasanii ambao walitakiwa kupewa tuzo lakini hawajapewa. Muigizaji huyo ameadai Mzee Majuto, Tausi na Riyama Ally ni wasanii ambao walitakiwa kupewa tuzo.

Chanzo: bongo5.com