Menu ›
Burudani
Sun, 3 Oct 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Usiku wa Oktoba 3, Mtangazaji maarufu wa kipindi cha "udaku" kinachoitwa ICU, Kwisa Thompson amefunga ndoa.
Sherehe hiyo ilihudhuriwa na Mastaa wengi wa Flamu na Muziki na ikizingatiwa mastaa ndio hasa vyanzo vya habari katika kipindi hicho.
Miongoni mwa waliohudhuria sherehe hiyo in muigizaji kunako ulingo wa filamu ama Bongo Movie, Irene Uwoya ambae ameshika vichwa vya habari baada ya kumwaga Pesa akimtunza kwisa.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live