Menu ›
Burudani
Tue, 3 Apr 2018
Chanzo: bongo5.com
Mchekeshaji Kitale amechukua tuzo ya mchekeshaji bora 2018 wa tuzo za SZIFF na kuwamwaga wasanii wenzake wa filamu. Muigizaji huyo muda mchache baada ya kutangazwa mshindi alifunguka kuizungumzia tuzo hiyo.
Mchekeshaji Kitale amechukua tuzo ya mchekeshaji bora 2018 wa tuzo za SZIFF na kuwamwaga wasanii wenzake wa filamu. Muigizaji huyo muda mchache baada ya kutangazwa mshindi alifunguka kuizungumzia tuzo hiyo.
Chanzo: bongo5.com