Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

"Tumieni mitandao kibiashara sio matusi' - Jokate

160 Kidoti TZW

Thu, 14 Dec 2017 Chanzo: bongo5.com

Mjasiriamali na Mwanamitindo maarufu Bongo, Jokate Mwegelo amewataka vijana kutumia mitandao ipasavyao.

Jokate  amesema ni vema vijana wakatumia mitandao kuwa ajili ya kupata taarifa sahihi ambazo zitakuwa na manufaa kwao.

“Vijana wasitumie mitandao ya kijamii kujua Jokate amevaa nini leo au kaweka nywele gani inatakiwa watafute taarifa mbalimbali ambazo kila wakati hutolewa katika internet ili ziweze kuwapa ufahamu na pengine kuwasaidia” Jokate ameimbia EA Radio.

Katika hatua nyingine Jokate amesema ni vizuri kwa kijana kuwa na kazi yake binafsi ili aweze kujiamulia mwenyewe mambo yake kwamba leo afanye kazi gani nakadhalika.

Chanzo: bongo5.com