Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

The Rock ataka kupewa nafasi ya kuwa 'James Bond'

Video Archive
Thu, 18 Nov 2021 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Muigizaji Dwayne “The Rock” Johnson amefunguka kuwa anataka kuwa James Bond anayefuata.

Muigizaji huyo alifunguka kuhusu kupendezwa kwake na jukumu hilo kutokana na Daniel Craig kustaafu kutoka kwenye filamu za Bond baada ya "No Time To Die".

“Ndiyo, babu yangu alikuwa mhalifu wa Bond katika "You Only Live Twice" pamoja na Sean Connery. hivyo hiyo itakua jambo kubwa sana kama nikipewa hiyo nafasi,” - The Rock

“Ningependa kufuata nyayo zake na kuwa Bond anayefuata. Sitaki kuwa mhalifu. Lazima niwe Bond."

Chanzo: www.tanzaniaweb.live