Menu ›
Burudani
Fri, 16 Jul 2021
Chanzo: millardayo.com
NI Mkali kutokea Bongo Flevani Diamond Platinumz ambae baada ya jana kuwajulisha mashabiki wake kwamba amenunua gari la kifahari liitwalo Rolls Royce Cullinan 2021, sasa leo ameingia nalo rasmi kitaani akiwa na msanii wa Afrika Kusini, Focalistic na mtayarishaji S2kizzy.
NI Mkali kutokea Bongo Flevani Diamond Platinumz ambae baada ya jana kuwajulisha mashabiki wake kwamba amenunua gari la kifahari liitwalo Rolls Royce Cullinan 2021, sasa leo ameingia nalo rasmi kitaani akiwa na msanii wa Afrika Kusini, Focalistic na mtayarishaji S2kizzy.
Chanzo: millardayo.com