Menu ›
Burudani
Sat, 27 Jul 2024
Chanzo: Mwanaspoti
Mahakama kuu ya Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam imetoa hukumu kwa Kampuni ya Home Box Office (HBO) kuwalipa Tshs. Millioni 700 Wasanii wa BongoFleva, Soggy Doggy na Dataz kwa kutumia wimbo wao wa ‘Sikutaki Tena’ katika filamu ya “Sometimes in April”
IdrisElba ni miongoni mwa Wasanii waliocheza Filamu hiyo
Wimbo wa ‘Sikutaki Tena’ ulitoka Mwaka 2000 chini ya Mtayarishaji Enrico
Chanzo: Mwanaspoti