Menu ›
Burudani
Sat, 13 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Rayvanny ameonyesha kutofurahiswha na maneno ya watu wanaosema anapenda kupita na upepo wa ngoma zote kali kwa kuomba remix, huku akisema kuwa hayo ni mawazo ya kijinga na yanaweza mfanya akaamua kuwafungia milango ya kolabo wasanii wenzake.
Rayvanny ameonyesha kutofurahiswha na maneno ya watu wanaosema anapenda kupita na upepo wa ngoma zote kali kwa kuomba remix, huku akisema kuwa hayo ni mawazo ya kijinga na yanaweza mfanya akaamua kuwafungia milango ya kolabo wasanii wenzake.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live