Menu ›
Burudani
Mon, 12 Aug 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Rapa wa Marekani Travis Scott alikamatwa na polisi jana Agosti 9 kwa kosa la kupigana na mlinzi wake akiwa hotelini jijini Paris nchini Ufaransa
Video zinawaonyesha polisi wakimburuza rapa huyo akiwa amefungwa pingu kutoka ndani ya Hoteli ya nyota tano ya 'Four Seasons' kuelekea kwenye gari la polisi huku mikono yake ikiwa nyuma na kisha kuondoka nae.
Rapa huyo mwenye umri wa miaka 33, jina lake halisi ni Jacques Bermon Webster II.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live