Menu ›
Burudani
Sun, 27 Jun 2021
Chanzo: millardayo.com
Rais Samia Suluhu amepiga simu kwenye Tamasha la Nandy Festival usiku huu na kuzungumza na Nandy Live akiwa Kwenye stage >>> “nashukuru kwamba leo nikitimiza siku 100 (tangu kuwa Rais) mko Dodoma kutumbuiza Vijana, waambie Vijana nawapenda sana).
Rais Samia Suluhu amepiga simu kwenye Tamasha la Nandy Festival usiku huu na kuzungumza na Nandy Live akiwa Kwenye stage >>> “nashukuru kwamba leo nikitimiza siku 100 (tangu kuwa Rais) mko Dodoma kutumbuiza Vijana, waambie Vijana nawapenda sana).
Chanzo: millardayo.com