Menu ›
Burudani
Fri, 21 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwanamuziki Q Chef ameachia ngoma mpya aliyoipa jina la " Papa God" ambapo katika hiyo ngoma amewachana wasanii Diamond, Harmonize na meneja wa Diamond Babu Tale.
Mwanamuziki Q Chef ameachia ngoma mpya aliyoipa jina la " Papa God" ambapo katika hiyo ngoma amewachana wasanii Diamond, Harmonize na meneja wa Diamond Babu Tale. Q Chief amewaita watatu hao kuwa ni wachanja chale, akiwahusisha na imani za kishirikina.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live