Menu ›
Burudani
Tue, 20 Feb 2018
Chanzo: bongo5.com
Producer kutoka Switch Music Group, S2kizzy amefunguka sababu iliyowapelekea yeye na kundi la OMG kufanya cover ya ngoma ya Diamond ‘Hallelujah’.
S2kizzy ameiambia Bongo5 kuwa amefanya hivyo kwa kuheshimu kile ambacho anafanya Diamond katika Bongo Flava.
“Cover ya Hallelujah kama OMG walivyofanya tumeweza kushirikiana tuliana tunanya appreciation kwa sababu ukiangali Diamond ni msanii mkubwa,” amesema S2kezzy.
“Anawakilisha Tanzania na Afrika vizuri, tulipoona kitu alichokifanya ni kikubwa ndio tukafanya ile remix katika rap version,” ameongeza.
Chanzo: bongo5.com